Mshindi wa tuzo tatu za Channel O,staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz
akizungumza na waandishi wa habari jana,Escape One,Mikocheni,jijini Dar
baada ya kutua kutoka nchini Afrika Kusini.
Mmoja wa mameneja wa Diamond,Mkubwa Fella akizungumza na waandishi wa
habari na mashabiki waliofika kumpokea Diamond akitokea nchini Afrika
Kusini kwenye tuzo za Channel O.
Post a Comment