Kamati ya bunge la Uingereza
inayochunguza mauaji ya Fusilier Lee Rigby mwaka uliopita imebaini kwamba
kampuni moja ya mtandao nchini Marekani inayodaiwa kuwa facebook inatishiwa
kuwa maficho makuu ya magaidi iwapo haitawafichua wateja wake wanaojadili kuhusu
harakati za kigaidi.
Mmoja ya watu waliomuua
Fusilier,Michael Adebowale anadaiwa kuzungumza kuhusu kumuua mwanajeshi mmoja
mapema katika mtandao huo kitu kilichogunduliwa baada ya shambulizi hilo.
Mtandao wa facebook umesema kuwa
unakabiliana na itikadi kali.
Post a Comment