Baada ya Diamond kupata tuzo tatu
usiku wa kuamkia leo, madam Wema Sepetu ktk page yake ya instagram hakusita
kumpongeza kwa kuandika:
"Good night Instagramers
pongezi nyingi zimuendee kaka Plutnumz kwa kupata tuzo"
Hii ni muendelezo wa series zao za mapenzi ktk
kuachana na kurudiana.
Diamond aliongizana na mama yake
pamoja na mpenzi wake mpya Zari, ktk khafla hiyo ilihudhuliwa pia na Vannesa
Mdee, madam Rita na Salama Jabry.
Post a Comment