"Katika hatua hii ya kazi
yake, bado ni bora kabisa na uzuri wa kutosha kwa ajili ya Liverpool
bado," Barnes alisema.
Barnes alitumia misimu 10 katika
uwanja wa Anfield kabla ya kuondoka na kujiunga na Newcastle United katika umri
ambao anao Gerrard hivi sasa.
Pamoja na ufanano wa umri ambao
Barnes aliihama liverpool winga huyo anaimani Gerrard ana nafasi yakuendelea
kuitumikia klabu hiyo mpaka atakapostaafu soka.
"Bila shaka tunajua ubora wa
Gerrard ulivyokua nyuma, na tunajua nini huwatokea wachezaji wengi wanapofika
mwisho wa kazi zao,bado ni mchezaji muhimu sana kwa klabu ya Liverpool”.
tayari liverpool kupitia meneja
wake Brendan Rodgers imetangaza kumpa ofa ya mkataba mpya. Steven Gerrard
utakao muwezesha kumalizia kipaji chake kwa majogoo wa jiji la London.
Post a Comment