Wewe kama hujaolewa halafu unapanua miguu kwa jamaa ambae
sio mume wako, yani boyfriend au mchumba kwa minajili ya kujipatia hela, ujue
wewe ni changudoa. Huna tofauti na wale wanaosimama usiku kujiuza.
Japokuwa wewe husimami usiku lakini jijue kuwa na wewe ni
changudoa kwasababu wote mnapewa pesa baada ya tendo. Hata kama hupewi mara tu
baada ya tendo kama wanavyofanya changudoa wanaosimama barabarani, lakini
unapewa pesa za matumizi na mtu ambaye si mume wako kisha ukampanulia miguu,
jua wewe ni changudoa au tunaweza kukuita changudoa mwenye kiwango.
Kwa wale dada zangu ambao bado hawajaingia katika hii
biashara nawashauri kufunga miguu yenu masije kujiingiza katika hii bihashara.
Kwasababu mbali na kumchukiza Mungu unakuwa unajishusha thamani wewe mwenyewe.
Halafu uzuri wake ukifanya hivi huwezi ukaja kukosa wa
kukuoa dada.
Post a Comment